Facebook YouTube Advertise Staff Login
Breaking
Home / News / Local News

Local News

138 stories from the Local News desk.

Advertisement This premium leaderboard is available — place your brand here
DNA Tests, Helicopter Black Box Search Underway
Local News

DNA Tests, Helicopter Black Box Search Underway

By:Betty Luke Seven people were killed in an helicopter crash near Mount Ololokwe in Samburu county on Wednesday. PHOTO/Courtesy Authorities have moved to …

21 Aug 2026·2 min read
Kwale Residents Put County Government on Notice
Local News

Kwale Residents Put County Government on Notice

By:Robert Mutasi Residents of Kwale County have put the county government on notice, warning against ignoring development priorities identified at the gras…

20 Aug 2026·1 min read
Ndindi Nyoro Declares 2027 Presidential Bid
Local News

Ndindi Nyoro Declares 2027 Presidential Bid

By:Robert Mutasi Kiharu Member of Parliament Ndindi Nyoro has declared his intention to run for president in the 2027 General Election. However, Nyoro says…

20 Aug 2026·1 min read
Kifo Katika Mgodi wa Dhahabu Migori
Local News

Kifo Katika Mgodi wa Dhahabu Migori

By:Robert Mutasi Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 16 amefariki dunia baada ya kuangukiwa na mgodi wa dhahabu katika eneo la Nyalgunga, Migori.

20 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Sebu Wanted Over Homa Bay Violence

By:Robert Mutasi The National Police Service (NPS) has ordered Kassim Abdi Sebu to surrender to the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Homa Bay C…

19 Aug 2026·2 min read
Local News
Local News

Thousands Flock Chonyi for Free Huduma Services

By:Glory Mwagambo THOUSANDS of residents in Chonyi, Kilifi County, have turned up for free government services in a Huduma Mashinani initiative aimed at he…

17 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Machele Aungana na Waumini wa St. Joseph

By:Hassan Pojjo Waumini na wadau wa Kanisa Katoliki la St. Joseph Tudor, Mombasa, wamejitokeza kuchangia fedha katika hafla maalum ya kuunga mkono utekelez…

15 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

RUTO AIPA SIFA RUWAZA YA 2030

By:Farida Ali Rais William Ruto ameisifu Ruwaza ya Mwaka 2030, akisema imekuwa nguzo kuu ya maendeleo nchini na kuliweka taifa la Kenya katika mwelekeo sah…

12 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Taharuki Chaani Baada ya Tukio la Kushangaza

By:Hassan Pojjo Hali ya taharuki ilitanda katika eneo la Chaani, Kaunti ya Mombasa, baada ya watu watano, akiwemo mtoto mmoja, kukamatwa na maafisa wa poli…

05 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Wakazi wa Vikobani Kunufaika na Hati Miliki

By:Alii Vincent Wakazi wa eneo la Vikobani katika kaunti ndogo ya Jomvu, Mombasa, wanaendelea kunufaika na mpango wa Serikali ya Kaunti ya Mombasa wa kuwap…

05 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Three Die in Boda Boda Tragedy

By:Robert Mutasi Three people were killed instantly while two others sustained serious injuries following a collision between a motorcycle and a seven-seat…

04 Aug 2026·2 min read
Local News
Local News

Busia Yakumbwa na Wimbi la Uhalifu

By:Robert Mutasi Wajumbe wa Bunge la Kaunti ya Busia wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu kuongezeka kwa visa vya ukosefu wa usalama katika maeneo mbalimbali ka…

04 Aug 2026·2 min read
Local News
Local News

Shule Yapigiwa Debe Kukuza Utamaduni

By:Hassan Pojjo Shule mbalimbali nchini zimetakiwa kuendelea kuwekeza katika shughuli za utamaduni na sanaa ili kuwasaidia wanafunzi kuhifadhi mila na dest…

01 Aug 2026·1 min read
Local News
Local News

Kenyan Anti-Nuclear Activist Arrested in Siaya

A Kenyan community activist opposing a proposed nuclear energy project in western Kenya has been arrested, sparking concerns among civil society groups ove…

31 Jul 2026·2 min read
Local News
Local News

Machele Aunga Mkono Uboreshaji wa Jela Baridi

By:Hassan Pojjo Mbunge wa Mvita, Mohammed Masoud Machele, ametembelea Gereza la Mombasa Remand, maarufu kama Jela Baridi, ambapo ameshuhudia Kamati ya Mvit…

29 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Mzozo wa Ardhi Watikisa Kwale

By:Alii Vincent Zaidi ya familia 200 katika kijiji cha Mkwakwani, eneo bunge la Msambweni, Kaunti ya Kwale, zimeanzisha mapambano ya kisheria kudai umiliki…

28 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Mwinjilisti Mwenye Ulemavu Apokea Kiti cha umeme

By:Robert Mutasi Mwinjilisti Richard Nyamunyamu kutoka Kaunti ya Nyamira amepokea kiti cha magurudumu kinachoendeshwa kwa umeme baada ya video yake akiimba…

28 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

NCCK yaonya wanasiasa dhidi ya kampeni makanisani

By:Robert Mutasi Baraza la Makanisa Nchini Kenya (NCCK) Ukanda wa Mashariki ya Juu limeonya vikali wanasiasa dhidi ya kugeuza nyumba za ibada kuwa uwanja w…

27 Jul 2026·3 min read
Local News
Local News

Ukosefu wa fedha watatiza maendeleo ya KD United

By:Gloria Mwagambo Wito umetolewa kwa Serikali ya Kaunti ya Kilifi pamoja na wadau wa michezo na wahisani kujitokeza kusaidia kikundi cha vijana cha KD Uni…

27 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Daraja la Marere laharibika Kwale

By:Hassan Pojjo Watumiaji wa Barabara ya Kinango–Kwale wametakiwa kuwa waangalifu kufuatia kuharibika kwa sehemu ya Daraja la Marere (Manolo), hali ambayo …

27 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Mwalago anadi sera za maendeleo Msambweni

By:Hassan Pojjo Muwania wa kiti cha Ubunge wa Msambweni kwa tiketi ya Jubilee Party, Omar Mwalago, amesema atatanguliza maslahi ya wananchi kupitia uongozi…

27 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Mduara wa Taarab |Kilele Radio

Usipitwe na Burudani la Taarab ndani ya Mduara wa Kilele.Pata Mapishi na vidokezo vya Urembo.

27 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Kingi Asema Siasa Zaigawa Pwani

Spika wa Seneti, Amason Kingi, amesema ukosefu wa umoja miongoni mwa viongozi wa Pwani, hasa wakati wa uchaguzi, umechangia kuchelewesha maendeleo ya ukand…

24 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Walemavu Wakemea Ubaguzi Kilifi

By:Glory Mwagambo Watu wenye ulemavu nchini wameitaka serikali na viongozi wa kisiasa kuhakikisha wanashirikishwa kikamilifu katika masuala ya kitaifa na k…

24 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Serikali Yahimizwa Kuongeza Lokeshini Rabai

By:Alii Vincent Viongozi wa serikali katika Eneo Bunge la Rabai, Kaunti ya Kilifi, wameitaka serikali kuu kuharakisha mchakato wa kupandisha hadhi baadhi y…

24 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Kamoti Super Cup Yaingia Robo Fainali

By:Hassan Pojjo Mashindano ya Kamoti Junior Super Cup makala ya tatu yanaingia hatua ya robo fainali Jumapili, Julai 26, 2026, huku mechi mbili zikitarajiw…

24 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Tahadhari Dhidi ya Magenge Jomvu

By:Alii Vincent Idara ya Usalama katika eneo bunge la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, imetoa tahadhari dhidi ya ongezeko la makundi ya vijana wanaojikusanya na k…

24 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Mama Amina Wins Grassroots Support

By:Athuman Luchi Nyali residents have pledged to support mama Amina Abdalla’s bid for the Mombasa Women Representative seat, saying they believe she has th…

23 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

DISCO MATANGA YATUHUMIWA KUCHOCHEA UHALIFU MALINDI

By:Glory Mwagambo Washikadau wa usalama, viongozi wa dini na jamii mjini Malindi wameungana kutafuta suluhu ya kudumu kwa ongezeko la uhalifu katika mitaa …

22 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Wapwani Watakiwa Kujiepusha na Wachochezi

By:Farida Ali Wapwani wametakiwa kujiepusha na kauli za uchochezi na ukabila zinazoweza kuhatarisha amani na umoja wa taifa. Wito huo umetolewa na Mbunge w…

22 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

KARISA AAHIDI SULUHISHO LA MAJI JOMVU

By:Hassan Pojjo Tatizo la maji limeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa Jomvu, huku mwanasiasa anayewania ubunge wa eneo hilo, Karisa Nzai Munyika, …

22 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

NCCK YAONYA DHIDI YA SIASA ZA FEDHA

By:Alii Vincent Huku joto la Uchaguzi Mkuu wa 2027 likizidi kupanda, viongozi wa dini chini ya mwavuli wa Baraza la Makanisa Nchini (NCCK) wameonya dhidi y…

22 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

ZAIDI YA VITAMBULISHO 1,500 HAVIJACHUKULIWA JOMVU

By:Alii Vincent Zaidi ya vitambulisho 1,500 bado havijachukuliwa katika eneo la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, huku wakazi wakihimizwa kujitokeza kuvichukua pam…

21 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

POLICE UNCOVER INTERNATIONAL DRUG NETWORK

By:Farida Ali A multi-agency security operation has intensified the fight against international drug trafficking along Kenya’s Coast following the arrest o…

21 Jul 2026·2 min read
Local News
Local News

WAKAZI MALINDI WAPINGA MATUSI YA KISIASA

By:Glory Mwagambo Wakazi wa Malindi katika Kaunti ya Kilifi wamekemea vikali matumizi ya lugha ya matusi na kejeli miongoni mwa viongozi wa kisiasa wakati …

21 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

MDUARA WA TAARABU-KILELE RADIO

By:Farida Ali Ngoma Taamu za Taarab,vidokezo vya afya na urembo.Mbona ukose kusikiliza.

21 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

MDUARA WA TAARAB

Kipindi cha Taarab,mapishi na vidokezo vya urembo,unaweza pia tuma salam zako kwa marafiki.

20 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

IRI YAIMARISHA UWEZO WA VIJANA KATIKA UTAWALA BORA

By:Hassan Pojjo Mwenyekiti wa Kundi la Vijana la International Republican Institute (IRI) Mombasa, Hassan Mbangwe, ameongoza ujumbe wa vijana kutoka Kaunti…

19 Jul 2026·2 min read
Local News
Local News

ABAYO INTENSIFIES GRASSROOTS SENATE CAMPAIGN

By:Athuman Luchi Mombasa senatorial aspirant Victor Abayo has intensified his grassroots political engagement with a high-level consultative meeting involv…

19 Jul 2026·3 min read
Local News
Local News

PADRI NDUNE AADHIMISHA MIAKA 25 YA UPADRI

By:Hassan Pojjo Mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki, viongozi wa dini, viongozi wa serikali na wanajamii kutoka maeneo mbalimbali walijitokeza katika eneo …

18 Jul 2026·3 min read
Local News
Local News

MASHIMO BARABARA YA TSAVO YACHOCHEA AJALI MALINDI

By:Glory Mwagambo Wakazi wa Malindi katika Kaunti ya Kilifi wamelalamikia hali mbaya ya Barabara ya Tsavo, wakisema imegeuka kuwa chanzo cha ajali za mara …

18 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

MOMBASA POLICE LAUNCH SEARCH FOR ESCAPED SUSPECT

By:Athuman Luchi Police in Mombasa have launched an intensive manhunt for two murder suspects who escaped from Mwatamba Police Station on Wednesday evening…

18 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

SPIKA WETANGULA MOTONI KWA KUDHARAU MAHAKAMA

By:Farida Ali Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetang’ula, anakabiliwa na lawama nzito za kukiuka amri ya Mahakama Kuu inayomzuia kushiriki katika kampeni …

17 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

VIONGOZI WA PWANI WAKUTANA

By:Hassan Pojo Viongozi wa kisiasa kutoka ukanda wa Pwani wamekutana katika kikao cha mashauriano kujadili mikakati ya kuharakisha maendeleo ya eneo hilo, …

15 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

COAST UNITED NI MOTO WA KUOTEA MBALI

Coast United ilirejea kwenye makali yake baada ya matokeo mazuri katika michezo ya vijana na timu ya wakubwa. Mwenyekiti wa Mtwapa Premier League, Ali Nass…

13 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Kombani Girls waichapa St. John’s Girls mabao 2-0

Michuano ya Digital Kickoff Tournament makala ya pili yanaendelea kuwa tamu huku mchezo wa pili wa mashindano hayo ukitoa ushindani mkubwa na burudani ya h…

10 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

ELKANA JACOB FOOTBALL TOURNAMENT KUANZA RASMI NYALI

Mashindano ya soka yanayodhaminiwa na Elkana Jacob, yanayolenga kuibua vipaji vya vijana, kuhamasisha amani na kuimarisha mshikamano katika eneo la Nyali, …

09 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

SEKTA YA UVUVI YADORORA MJINI MALINDI

Sekta ya uvuvi mjini Malindi, Kaunti ya Kilifi, inaendelea kukumbwa na changamoto kutokana na kupungua kwa idadi ya samaki baharini, hali ambayo imewaathir…

07 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

COAST UNITED YARINDIMA UGANI

Vijana wa Coast United Football wasiozidi miaka 17 kutoka wodi ya Magogoni eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa wanaoshiriki michuano ya FKF ya mkufunzi…

01 Jul 2026·1 min read
Local News
Local News

Wakazi wa Kibarani wahimizwa kusajili ardhi

Wakaazi wa eneo la Kibarani eneo bunge la Jomvu wametakiwa kushirikiana kwa karibu na idara ya upangaji mji katika shughuli ya usajili wa ardhi na upangaji…

27 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

gen-z protest updates

gen-z protest in Mombasa Parliament Barricaded with Razor-Sharp Barbed Wire nairobi protesters,former cJ David Maraga and other opposition leaders roablock…

25 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

Kenya Sets 2027 Election Date

Kenya’s electoral commission has officially set August 10, 2027, as the date for the country’s next General Election, launching a comprehensive timetable t…

25 Jun 2026·2 min read
Local News
Local News

GEN-Z WA TUM MOMBASA KUTOSHIRIKI MAANDAMANO

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Mombasa Tum wameweka wazi kutoshiriki katika maadamano ya kuwakumbuka vijana wa Gen-Z waliofariki wakati wa maadamano ya kuping…

24 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

WAANDAMANaji WAONYWA mombasa||mwanga wa kilele

idara ya polisi kaunti ya Mombasa imewaonya waandamanaji watakaovamia na kuharibu mali ya umma katika maandamano ya hapo kesho ya kuwakumbuka vijana wa Gen…

24 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

WAHUNI KATIKA MAANDAMANO WAKAMATWE

Ikiwa zimesalia siku mbili kabla ya maandamano ya vijana wa Gen Z ya kuwakumbuka wenzao waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa 2024…

23 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

WANAODAI KUPOTEZA SEHEMU NYETI KUKAMATWA MOMBASA

Idara ya Usalama katika Kaunti ya Mombasa imepuuzilia mbali uvumi kuhusu kupotea kwa sehemu za siri za wanaume, ikisema madai hayo si ya kweli. Akizungumza…

23 Jun 2026·1 min read
Local News
Local News

WAJOMVU WAHIMIZWA KUKATA KURA KWA WINGI

Wakaazi wa eneo la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kama wapiga kura kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2027.Akiz…

10 Feb 2026·1 min read
Local News
Local News

Wezi wa Simu Wakamatwa Mombasa Katika Msako Mkali

Polisi wamefanikiwa kuwakamata washukiwa kadhaa wa wizi wa simu za rununu katika msako maalum uliofanyika katikati mwa jiji la Mombasa. Washukiwa hao walin…

27 Aug 2025·1 min read
Kilele Radio — LiveNon-stop Music Mix
Tap play to start the live stream
LIVE 24/7