By:Farida Ali

Wapwani wametakiwa kujiepusha na kauli za uchochezi na ukabila zinazoweza kuhatarisha amani na umoja wa taifa.
AdvertisementIn-article placement — advertise with Kilele Radio
Wito huo umetolewa na Mbunge wa Kisauni, Rashid Bedzimba, ambaye amewataka wananchi kuwa makini na kauli za kisiasa zinazoweza kuleta mgawanyiko katika jamii