
Idara ya Usalama katika Kaunti ya Mombasa imepuuzilia mbali uvumi kuhusu kupotea kwa sehemu za siri za wanaume, ikisema madai hayo si ya kweli.
Ikiwa zimesalia siku mbili kabla ya maandamano ya vijana wa Gen Z ya kuwakumbuka wenzao waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa 2024/2025, serikali imetakiwa kuhakikisha usalama wa kutosha na kuepuka matumizi ya nguvu.
AdvertisementIn-article placement — advertise with Kilele Radio
Visa vya mimba za utotoni vimeendelea kuongezeka mjini Malindi, Kaunti ya Kilifi, hali iliyowafanya wakazi kuitaka serikali, wazazi na walimu kuongeza juhudi za kuwaelimisha watoto kuhusu madhara ya mimba za mapema.